Kijana Focus Malindi (23) aliyefungwa miaka 30 na kutakiwa kumlipa fidia ya Sh1 milioni kikongwe wa miaka 81 kwa madai ya ...
Upelelezi wa kesi ya mauaji inayomkabili Fred Chaula (56) na wenzake wawili bado haujakamilika, mahakama imeelezwa.
Mmiliki wa gari iliyokamatwa na polisi ikidaiwa kusafirisha dhahabu kupitia njia ya magendo, amekiri kuwa hakujua gari lake ...
Wakati Serikali ikilenga kuhakikisha Watanzania wanne kati ya watano wanatumia nishati safi ya kupikia ifikapo mwaka 2034, ...
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, amesisitiza kuwa hakutafanyika uchaguzi mkuu mwaka ...
Wasiwasi unaendelea kuongezeka kuhusu wafanyabiashara wa kigeni kuingilia biashara za wazawa, huku Shirikisho la Sekta ...
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM)-Bara, Stephen Wasira amehoji ni njia ipi, Chama cha Demokrasia na Maendeleo ...
Ripoti za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kwa ...
Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amesema chama hicho hakitawabembeleza Chadema ...
Waswahili wanasema panapofuka Moshi chini kuna moto, ndivyo unaweza kuelezea kile kinachoendelea katika jimbo la Moshi mjini ...
Taasisi ya Utafiti na Madini Tanzania (GST) imesema changamoto inayowakabili wachimbaji wadogo nchini ni ukosefu wa elimu ya ...
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetangaza angalizo la mvua kubwa kwa siku tatu mfululizo katika maeneo mbalimbali ...